23 katika kusanyiko kuu,+ na kutaniko la wazaliwa wa kwanza+ ambao wameandikishwa+ mbinguni, na Mungu Mwamuzi wa wote,+ na maisha ya kiroho+ ya waadilifu ambao wamefanywa wakamilifu,+
5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba ambaye ni wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”