Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nikaendelea kutazama mpaka viti vya ufalme vikawekwa+ na Mzee wa Siku+ akaketi. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji,+ na nywele za kichwa chake zilikuwa kama sufu safi.+ Kiti chake cha ufalme kilikuwa ni miali ya moto;+ magurudumu yake yalikuwa ni moto unaowaka.+

  • Habakuki 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki