Zaburi 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana ulikutana naye ukiwa na baraka za mema,+Na kumvika taji la dhahabu safi kichwani.+ Ufunuo 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nikaona, na, tazama! farasi mweupe;+ na yule anayeketi+ juu yake alikuwa na upinde;+ naye akapewa taji,+ naye akaenda akishinda+ na kukamilisha ushindi wake.+
2 Nami nikaona, na, tazama! farasi mweupe;+ na yule anayeketi+ juu yake alikuwa na upinde;+ naye akapewa taji,+ naye akaenda akishinda+ na kukamilisha ushindi wake.+