2 Mambo ya Nyakati 6:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na sasa usimame,+ Ee Yehova Mungu, uingie katika pumziko lako,+ wewe pamoja na Sanduku la nguvu zako.+ Makuhani wako, Ee Yehova Mungu, na wavikwe wokovu, nao washikamanifu wako washangilie katika wema.+ Zaburi 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,Mbele ya wana wa binadamu.+
41 Na sasa usimame,+ Ee Yehova Mungu, uingie katika pumziko lako,+ wewe pamoja na Sanduku la nguvu zako.+ Makuhani wako, Ee Yehova Mungu, na wavikwe wokovu, nao washikamanifu wako washangilie katika wema.+
19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,Mbele ya wana wa binadamu.+