13 Na itatukia kwamba mara tu nyayo za miguu ya makuhani wanaolichukua sanduku la Yehova, Bwana wa dunia yote, zitakapokanyaga maji ya Yordani, maji ya Yordani yatazuiliwa, maji yanayoshuka kutoka juu, nayo yatasimama kama ukuta wa maji.”+
9 Na ikawa kwamba walipokuwa wamezunguka kulileta huko, mkono wa Yehova+ ukaja kuwa juu ya jiji hilo na kuleta mvurugo mkubwa sana, naye akaanza kuwapiga watu wa jiji, kuanzia mdogo hata mkubwa, na bawasiri+ zikaanza kulipuka juu yao.