Kumbukumbu la Torati 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mkono+ wa Yehova pia ulikuwa juu yao ili kuwafadhaisha kutoka katika kambi, mpaka walipofikia mwisho wao.+ 1 Samweli 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo Wafilisti wakatiishwa, wala hawakuingia tena katika eneo la Israeli;+ na mkono wa Yehova ukaendelea kuwa juu ya Wafilisti siku zote za Samweli.+
15 Na mkono+ wa Yehova pia ulikuwa juu yao ili kuwafadhaisha kutoka katika kambi, mpaka walipofikia mwisho wao.+
13 Kwa hiyo Wafilisti wakatiishwa, wala hawakuingia tena katika eneo la Israeli;+ na mkono wa Yehova ukaendelea kuwa juu ya Wafilisti siku zote za Samweli.+