Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo ishara ya Mwana wa binadamu+ itakapoonekana mbinguni, ndipo makabila yote ya dunia yatakapojipiga-piga yenyewe kwa kuomboleza,+ nayo yatamwona Mwana wa binadamu akija juu ya mawingu ya mbinguni akiwa na nguvu na utukufu mwingi.+

  • Mathayo 26:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Yesu akamwambia:+ “Wewe mwenyewe umesema.+ Lakini ninawaambia ninyi, Tangu sasa+ mtamwona Mwana wa binadamu+ akiwa ameketi kwenye mkono wa kuume+ wa nguvu na akija juu ya mawingu ya mbinguni.”+

  • Marko 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo watakapomwona Mwana wa binadamu+ akija katika mawingu akiwa na nguvu nyingi na utukufu.+

  • Marko 14:62
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Ndipo Yesu akasema: “Mimi ndiye; nanyi mtamwona Mwana wa binadamu+ akiwa ameketi kwenye mkono wa kuume+ wa nguvu akija pamoja na mawingu ya mbinguni.”+

  • Luka 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na ndipo watakapomwona Mwana wa binadamu+ akija katika wingu akiwa na nguvu na utukufu mwingi.+

  • Ufunuo 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona,+ na wale waliomchoma;+ na makabila yote ya dunia yatajipiga-piga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki