30 Ndipo ishara ya Mwana wa binadamu+ itakapoonekana mbinguni, ndipo makabila yote ya dunia yatakapojipiga-piga yenyewe kwa kuomboleza,+ nayo yatamwona Mwana wa binadamu akija juu ya mawingu ya mbinguni akiwa na nguvu na utukufu mwingi.+
64 Yesu akamwambia:+ “Wewe mwenyewe umesema.+ Lakini ninawaambia ninyi, Tangu sasa+ mtamwona Mwana wa binadamu+ akiwa ameketi kwenye mkono wa kuume+ wa nguvu na akija juu ya mawingu ya mbinguni.”+
62 Ndipo Yesu akasema: “Mimi ndiye; nanyi mtamwona Mwana wa binadamu+ akiwa ameketi kwenye mkono wa kuume+ wa nguvu akija pamoja na mawingu ya mbinguni.”+
7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona,+ na wale waliomchoma;+ na makabila yote ya dunia yatajipiga-piga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.