64 Yesu akamwambia:+ “Wewe mwenyewe umesema.+ Lakini ninawaambia ninyi, Tangu sasa+ mtamwona Mwana wa binadamu+ akiwa ameketi kwenye mkono wa kuume+ wa nguvu na akija juu ya mawingu ya mbinguni.”+
7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona,+ na wale waliomchoma;+ na makabila yote ya dunia yatajipiga-piga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.
14 Nami nikaona, na, tazama! wingu jeupe, na mtu fulani kama mwana wa binadamu+ ameketi juu ya wingu lile, mwenye taji la dhahabu+ juu ya kichwa chake na mundu mkali mkononi mwake.