Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 110:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+

      “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+

      Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+

  • Danieli 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akapewa utawala+ na heshima+ na ufalme,+ ili vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vimtumikie yeye.+ Utawala wake ni utawala unaodumu mpaka wakati usio na kipimo ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake ni ufalme ambao hautaharibiwa.+

  • Luka 22:69
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 69 Hata hivyo, kutoka sasa na kuendelea Mwana wa binadamu+ atakuwa akiketi kwenye mkono wa kuume+ wenye nguvu wa Mungu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki