Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Danieli 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akapewa utawala+ na heshima+ na ufalme,+ ili vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vimtumikie yeye.+ Utawala wake ni utawala unaodumu mpaka wakati usio na kipimo ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake ni ufalme ambao hautaharibiwa.+ Luka 22:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 Hata hivyo, kutoka sasa na kuendelea Mwana wa binadamu+ atakuwa akiketi kwenye mkono wa kuume+ wenye nguvu wa Mungu.”+
110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+
14 Naye akapewa utawala+ na heshima+ na ufalme,+ ili vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vimtumikie yeye.+ Utawala wake ni utawala unaodumu mpaka wakati usio na kipimo ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake ni ufalme ambao hautaharibiwa.+
69 Hata hivyo, kutoka sasa na kuendelea Mwana wa binadamu+ atakuwa akiketi kwenye mkono wa kuume+ wenye nguvu wa Mungu.”+