Matendo 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na alipokuwa amesema mambo hayo, huku walipokuwa wakitazama, akainuliwa+ na wingu likamchukua juu kutoka machoni pao.+ 2 Wakorintho 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini sisi tuna uhodari mwingi na tunapendezwa vema tusiwepo katika mwili na badala yake tufanye makao yetu pamoja na Bwana.+ Wafilipi 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Niko chini ya mkazo kutokana na mambo haya mawili;+ lakini kile ninachotamani ni kule kufunguliwa na kule kuwa pamoja na Kristo,+ kwa maana hili, kwa hakika, ni bora zaidi.+
9 Na alipokuwa amesema mambo hayo, huku walipokuwa wakitazama, akainuliwa+ na wingu likamchukua juu kutoka machoni pao.+
8 Lakini sisi tuna uhodari mwingi na tunapendezwa vema tusiwepo katika mwili na badala yake tufanye makao yetu pamoja na Bwana.+
23 Niko chini ya mkazo kutokana na mambo haya mawili;+ lakini kile ninachotamani ni kule kufunguliwa na kule kuwa pamoja na Kristo,+ kwa maana hili, kwa hakika, ni bora zaidi.+