1 Wakorintho 15:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Ndivyo ulivyo pia ufufuo wa wafu.+ Hupandwa katika uharibifu, hufufuliwa katika kutoweza kuharibika.+ 2 Wakorintho 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini sisi tuna uhodari mwingi na tunapendezwa vema tusiwepo katika mwili na badala yake tufanye makao yetu pamoja na Bwana.+
42 Ndivyo ulivyo pia ufufuo wa wafu.+ Hupandwa katika uharibifu, hufufuliwa katika kutoweza kuharibika.+
8 Lakini sisi tuna uhodari mwingi na tunapendezwa vema tusiwepo katika mwili na badala yake tufanye makao yetu pamoja na Bwana.+