Yohana 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia, nikienda na kuwatayarishia ninyi mahali, nitakuja tena+ nami nitawapokea ninyi nyumbani kwangu mwenyewe,+ ili mahali nilipo mimi, ninyi pia muwe hapo.+ Ufunuo 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+
3 Pia, nikienda na kuwatayarishia ninyi mahali, nitakuja tena+ nami nitawapokea ninyi nyumbani kwangu mwenyewe,+ ili mahali nilipo mimi, ninyi pia muwe hapo.+
6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+