Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+

  • Ezekieli 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nikaendelea kuwaambia, ‘Tupilieni mbali, kila mmoja wenu, machukizo ya macho yake,+ nanyi msijitie unajisi kwa sanamu za mavi za Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki