39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+
7 Nami nikaendelea kuwaambia, ‘Tupilieni mbali, kila mmoja wenu, machukizo ya macho yake,+ nanyi msijitie unajisi kwa sanamu za mavi za Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’+