12 “Nimeyasikia manung’uniko ya wana wa Israeli.+ Sema nao, na kuwaambia, ‘Katikati ya zile jioni mbili mtakula nyama na asubuhi mtashiba mkate;+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+
44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu;+ nanyi mtajitakasa wenyewe nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msifanye nafsi zenu kuwa zisizo safi kutokana na kiumbe chochote kinachozaana kwa wingi ambacho hutembea juu ya dunia.