Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu;+ nanyi mtajitakasa wenyewe nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msifanye nafsi zenu kuwa zisizo safi kutokana na kiumbe chochote kinachozaana kwa wingi ambacho hutembea juu ya dunia.

  • Waefeso 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kama vile alivyotuchagua+ katika muungano naye kabla ya kuwekwa msingi+ wa ulimwengu, ili tuwe watakatifu na bila dosari+ mbele zake katika upendo.+

  • 1 Petro 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu imeandikwa: “Muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki