5 “Ili kwamba,” kama alivyosema, “wapate kuamini ya kwamba Yehova Mungu wa mababu zao,+ Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka+ na Mungu wa Yakobo,+ amekutokea.”+
7 Nami hakika nitawachukua kwangu muwe watu wangu,+ nami kwa kweli nitakuwa Mungu kwenu;+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu anayewatoa kutoka chini ya mizigo ya Misri.+
31 “ ‘Na kwa habari yenu ninyi kondoo zangu,+ kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wa udongo. Mimi ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”