Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+ Marko 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini kuhusu wafu, kwamba wanafufuliwa, je, hamkusoma katika kitabu cha Musa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba, jinsi Mungu alivyomwambia, ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+
13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+
26 Lakini kuhusu wafu, kwamba wanafufuliwa, je, hamkusoma katika kitabu cha Musa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba, jinsi Mungu alivyomwambia, ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+