Kumbukumbu la Torati 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+ 2 Samweli 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nawe ulijifanyia imara watu wako Israeli+ kuwa watu wako mpaka wakati usio na kipimo; na wewe mwenyewe, Ee Yehova, umekuwa Mungu wao.+ Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua wawe urithi wake.+
6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+
24 Nawe ulijifanyia imara watu wako Israeli+ kuwa watu wako mpaka wakati usio na kipimo; na wewe mwenyewe, Ee Yehova, umekuwa Mungu wao.+