Matendo 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akasema: “Wanaume, akina ndugu na akina baba, sikieni. Mungu wa utukufu+ alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa Mesopotamia, kabla ya kuanza kukaa Harani,+ Waroma 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana andiko linasema nini? “Abrahamu alionyesha imani katika Yehova, na hilo likahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu.”+
2 Akasema: “Wanaume, akina ndugu na akina baba, sikieni. Mungu wa utukufu+ alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa Mesopotamia, kabla ya kuanza kukaa Harani,+
3 Kwa maana andiko linasema nini? “Abrahamu alionyesha imani katika Yehova, na hilo likahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu.”+