16 Wewe nenda, uwakusanye wanaume wazee wa Israeli, na kuwaambia, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu amenitokea,+ Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema: “Hakika nitaelekeza fikira+ kwenu na kwa yale mnayotendewa katika Misri.
31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+
3 Kutoka mbali Yehova alinitokea, akisema: “Nimekupenda wewe kwa upendo mpaka wakati usio na kipimo.+ Ndiyo sababu nimekuvuta kwa fadhili zenye upendo.+