Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 43:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wakajibu, wakasema: “Mtumishi wako baba yetu anaendelea vema. Angali hai.” Kisha wakainama na kulala kifudifudi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wana wote wa Israeli walikuwa wakitazama wakati moto uliposhuka na utukufu wa Yehova ulipokuwa juu ya nyumba ile, kisha wakainama+ kifudifudi mara moja, juu ya sakafu ya mawe, wakasujudu+ na kumshukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • Nehemia 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Ezra akambariki Yehova+ Mungu wa kweli, Yeye aliye mkuu, halafu watu wote wakajibu, “Amina! Amina!”+ kwa kuinua juu mikono+ yao. Kisha wakainama+ na kumsujudia Yehova kifudifudi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki