24 na moto ukatoka mbele za Yehova+ nao ukaanza kuteketeza lile toleo la kuteketezwa na vile vipande vyenye mafuta juu ya madhabahu. Watu wote walipoona hilo, wakaanza kupaaza sauti+ zao nao wakaanguka kifudifudi.
39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+
11 Na malaika+ wote walikuwa wamesimama kukizunguka kile kiti cha ufalme na wale wazee+ na wale viumbe hai wanne,+ nao wakaanguka kifudifudi mbele ya kile kiti cha ufalme na kumwabudu Mungu,+