-
Ufunuo 7:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Na malaika wote walikuwa wamesimama kuzunguka hicho kiti cha ufalme na wale wazee na wale viumbe hai wanne, nao wakaanguka kifudifudi mbele ya kiti cha ufalme na kumwabudu Mungu,
-