Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme.

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo mara moja Yehoshafati akainama kifudifudi,+ na Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka mbele za Yehova ili kumsujudia Yehova.+

  • Zaburi 95:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+

      Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki