Zaburi 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,Mbele ya wana wa binadamu.+ Mathayo 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+
19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,Mbele ya wana wa binadamu.+
17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+