Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+ Luka 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Akamwambia: “Umejibu kwa usahihi; ‘endelea kufanya hivyo nawe utapata uzima.’ ”+ Luka 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wewe unazijua amri,+ ‘Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitoe ushahidi wa uwongo,+ Mheshimu baba yako na mama yako.’ ”+
5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+
20 Wewe unazijua amri,+ ‘Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitoe ushahidi wa uwongo,+ Mheshimu baba yako na mama yako.’ ”+