Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+ Kumbukumbu la Torati 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru; ili siku zako zipate kuwa ndefu na ili mambo yakuendee vema+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe. Waefeso 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mheshimu baba yako na mama yako”;+ ambayo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi:+
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru; ili siku zako zipate kuwa ndefu na ili mambo yakuendee vema+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.