3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,
11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+