14 Nao wakazidi kuyafanya maisha yao yawe machungu kwa utumwa mgumu wa kutengeneza saruji ya udongo+ na matofali na kwa kila namna ya utumwa shambani,+ ndiyo, kila namna ya utumwa wao ambao kwa huo waliwatumia wakiwa watumwa chini ya uonevu.+
5 Na Wamisri hakika watajua kwamba mimi ni Yehova wakati ambapo nitaunyoosha mkono wangu juu ya Misri,+ nami kwa kweli nitawatoa wana wa Israeli kutoka katikati yao.”+
17 Kwa maana Andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki, ili kuhusiana na wewe nionyeshe nguvu zangu, na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+