Kutoka 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mimi ni Yehova Mungu wako,+ ambaye nimekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya watumwa.+ Mambo ya Walawi 25:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Hutamkanyagia chini kwa uonevu,+ nawe utamwogopa Mungu wako.+ Mambo ya Walawi 26:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mimi ni Yehova Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri ili msiwe watumwa kwao,+ nami nikavunja nira zenu na kuwafanya mtembee mkiwa wima.+ Methali 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Waadilifu wanapokuwa wengi, watu hushangilia;+ lakini mtu yeyote mwovu anapotawala, watu huugua.+ Isaya 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 yeye anayevipiga vikundi vya watu katika ghadhabu kwa mapigo bila kukoma,+ yeye anayeyatiisha mataifa katika hasira kali pamoja na mateso yasiyo na kizuizi.+
13 Mimi ni Yehova Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri ili msiwe watumwa kwao,+ nami nikavunja nira zenu na kuwafanya mtembee mkiwa wima.+
6 yeye anayevipiga vikundi vya watu katika ghadhabu kwa mapigo bila kukoma,+ yeye anayeyatiisha mataifa katika hasira kali pamoja na mateso yasiyo na kizuizi.+