Habakuki 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+ Zekaria 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nina hasira kubwa juu ya mataifa yenye starehe;+ kwa sababu mimi nilikasirika kidogo tu,+ bali wao waliuzidisha msiba.” ’+
6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+
15 Nina hasira kubwa juu ya mataifa yenye starehe;+ kwa sababu mimi nilikasirika kidogo tu,+ bali wao waliuzidisha msiba.” ’+