Isaya 54:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nilificha uso wangu kutoka kwako kwa muda kidogo kwa furiko la ghadhabu,+ lakini nitakuonyesha rehema kwa fadhili zenye upendo mpaka wakati usio na kipimo,”+ Mkombozi+ wako, Yehova, amesema. Waebrania 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+
8 Nilificha uso wangu kutoka kwako kwa muda kidogo kwa furiko la ghadhabu,+ lakini nitakuonyesha rehema kwa fadhili zenye upendo mpaka wakati usio na kipimo,”+ Mkombozi+ wako, Yehova, amesema.
7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+