14 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu.+ Atakapofanya makosa, nitamkaripia kwa fimbo+ ya wanadamu na kwa mapigo ya wana wa Adamu.
10 Kwa maana ilifaa kwa yule ambaye kwa ajili yake vitu vyote vipo+ na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ amfanye Wakili Mkuu+ wa wokovu wao kuwa mkamilifu kupitia mateso.+