6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+ nami nikawatia mkononi mwako.+ Hukuwaonyesha rehema zozote.+ Uliifanya nira yako kuwa nzito sana juu ya mzee.+
35 ‘Jeuri niliyotendewa mimi na kutendewa mwili wangu na iwe juu ya Babiloni!’ mwanamke mkaaji wa Sayuni atasema.+ ‘Na damu yangu na iwe juu ya wakaaji wa Ukaldayo!’ Yerusalemu atasema.”+