Yeremia 51:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Babiloni na alipizwe kwa sababu ya ukatili niliotendewa mimi na mwili wangu!’ asema mkaaji wa Sayuni.+ ‘Na wakaaji wa Ukaldayo na walipizwe kwa sababu ya damu yangu!’ asema Yerusalemu.”
35 ‘Babiloni na alipizwe kwa sababu ya ukatili niliotendewa mimi na mwili wangu!’ asema mkaaji wa Sayuni.+ ‘Na wakaaji wa Ukaldayo na walipizwe kwa sababu ya damu yangu!’ asema Yerusalemu.”