7 Nami nitatakasa juu yako wale wanaoleta uharibifu,+ kila mmoja na silaha zake;+ nao wataikata mierezi+ yako iliyo bora zaidi na kuiangusha ndani ya moto.+
2 Kwa ajili ya Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri,+ aliyekuwa kando ya mto Efrati kule Karkemishi,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimshinda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda: