Yeremia 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi pia nitawatoza ninyi+ hesabu kulingana na matunda ya matendo yenu,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawasha moto katika msitu wake,+ na hakika huo utateketeza vitu vyote vinavyomzunguka.’”+ Zekaria 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Fungua milango yako, Ee Lebanoni,+ ili moto uteketeze kati ya mierezi yako.+
14 Mimi pia nitawatoza ninyi+ hesabu kulingana na matunda ya matendo yenu,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawasha moto katika msitu wake,+ na hakika huo utateketeza vitu vyote vinavyomzunguka.’”+