Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Wamisri wakawatumikisha wana wa Israeli chini ya uonevu.+

  • Kutoka 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye Yehova akaongezea: “Pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; kwa sababu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo.+

  • Isaya 47:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+ nami nikawatia mkononi mwako.+ Hukuwaonyesha rehema zozote.+ Uliifanya nira yako kuwa nzito sana juu ya mzee.+

  • Waefeso 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea wao mambo hayohayo, na mwache kutisha,+ kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu+ pia yuko mbinguni, naye hana ubaguzi+ wowote.

  • Wakolosai 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Enyi mabwana, endeleeni kuwapa watumwa wenu yaliyo ya uadilifu na ya haki,+ mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki