Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na ikawa kwamba wakati wa siku hizo nyingi, mwishowe mfalme wa Misri akafa,+ lakini wana wa Israeli wakaendelea kuugua kwa sababu ya utumwa na kulia kwa kulalamika,+ nacho kilio chao cha kuomba msaada kikaendelea kupaa juu kwa Mungu wa kweli kwa sababu ya utumwa huo.+

  • Methali 14:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+

  • Matendo 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, Mungu alisema hivi, kwamba uzao wake ungekuwa wakaaji wageni+ katika nchi ya kigeni+ na watu hao wangewafanya watumwa na kuwatesa kwa miaka mia nne.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki