Kutoka 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye Yehova akaongezea: “Pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; kwa sababu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo.+ 1 Wafalme 8:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 (kwa maana wao ni watu wako na urithi wako,+ ulioutoa katika Misri,+ kutoka ndani ya tanuru ya chuma),+ Nehemia 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kwa hiyo ukaona+ mateso ya mababu zetu huko Misri, nawe ukasikia+ kilio chao kwenye Bahari Nyekundu. Zaburi 107:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao akawaokoa kama kawaida.+
7 Naye Yehova akaongezea: “Pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; kwa sababu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo.+
51 (kwa maana wao ni watu wako na urithi wako,+ ulioutoa katika Misri,+ kutoka ndani ya tanuru ya chuma),+
9 “Kwa hiyo ukaona+ mateso ya mababu zetu huko Misri, nawe ukasikia+ kilio chao kwenye Bahari Nyekundu.
19 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao akawaokoa kama kawaida.+