Kutoka 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+ Nehemia 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao ni watumishi wako+ na watu wako,+ uliowakomboa kwa uwezo wako mkubwa+ na kwa mkono wako wenye nguvu.+
30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+
10 Nao ni watumishi wako+ na watu wako,+ uliowakomboa kwa uwezo wako mkubwa+ na kwa mkono wako wenye nguvu.+