5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
26 Nami nikaanza kuomba dua+ kwa Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, usiwaharibu watu wako, mali yako binafsi,+ uliowakomboa kwa ukuu wako, ambao uliwatoa Misri+ kwa mkono wenye nguvu.+