Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami, naam mimi, nimesikia kuugua kwa wana wa Israeli,+ ambao Wamisri wanawatumikisha, nami ninalikumbuka agano langu.+

  • Hesabu 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwishowe tukamlilia Yehova+ naye akaisikia sauti yetu na kumtuma malaika,+ akatutoa Misri; na tazama, tuko hapa Kadeshi, jiji lililo kwenye mpaka wa eneo lako.

  • Kumbukumbu la Torati 26:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nasi tukaanza kumlilia Yehova Mungu wa mababu zetu,+ naye Yehova akaisikia sauti yetu+ na kutazama mateso yetu na taabu yetu na kukandamizwa kwetu.+

  • Zaburi 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+

      Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+

      “Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki