Kutoka 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami, naam mimi, nimesikia kuugua kwa wana wa Israeli,+ ambao Wamisri wanawatumikisha, nami ninalikumbuka agano langu.+ Hesabu 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwishowe tukamlilia Yehova+ naye akaisikia sauti yetu na kumtuma malaika,+ akatutoa Misri; na tazama, tuko hapa Kadeshi, jiji lililo kwenye mpaka wa eneo lako. Kumbukumbu la Torati 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nasi tukaanza kumlilia Yehova Mungu wa mababu zetu,+ naye Yehova akaisikia sauti yetu+ na kutazama mateso yetu na taabu yetu na kukandamizwa kwetu.+ Zaburi 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+“Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+
5 Nami, naam mimi, nimesikia kuugua kwa wana wa Israeli,+ ambao Wamisri wanawatumikisha, nami ninalikumbuka agano langu.+
16 Mwishowe tukamlilia Yehova+ naye akaisikia sauti yetu na kumtuma malaika,+ akatutoa Misri; na tazama, tuko hapa Kadeshi, jiji lililo kwenye mpaka wa eneo lako.
7 Nasi tukaanza kumlilia Yehova Mungu wa mababu zetu,+ naye Yehova akaisikia sauti yetu+ na kutazama mateso yetu na taabu yetu na kukandamizwa kwetu.+
5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+“Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+