Kutoka 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hata hivyo, wazalishaji hao walimwogopa Mungu wa kweli,+ nao hawakufanya kama vile mfalme wa Misri alivyokuwa amewaambia,+ bali walikuwa wakiwahifadhi hai watoto wa kiume.+ Mambo ya Walawi 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na mtu yeyote kati yenu asimkosee mwenzake,+ nawe umwogope Mungu wako,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
17 Hata hivyo, wazalishaji hao walimwogopa Mungu wa kweli,+ nao hawakufanya kama vile mfalme wa Misri alivyokuwa amewaambia,+ bali walikuwa wakiwahifadhi hai watoto wa kiume.+
17 Na mtu yeyote kati yenu asimkosee mwenzake,+ nawe umwogope Mungu wako,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.