Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Shadraki, Meshaki na Abednego wakajibu, nao wakamwambia mfalme: “Ee Nebukadneza, si lazima tukujibu neno lolote kuhusu jambo hili.+

  • Danieli 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Papo hapo wakajibu, nao wakasema mbele ya mfalme: “Danieli,+ ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ hakukujali wewe, Ee mfalme, wala hakujali ile amri ya marufuku uliyotia sahihi, bali yeye anatoa maombi yake mara tatu kwa siku.”+

  • Mathayo 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+

  • Matendo 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Petro na wale mitume wengine wakajibu wakasema: “Lazima tumtii Mungu kuwa mtawala kuliko wanadamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki