13 Papo hapo wakajibu, nao wakasema mbele ya mfalme: “Danieli,+ ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ hakukujali wewe, Ee mfalme, wala hakujali ile amri ya marufuku uliyotia sahihi, bali yeye anatoa maombi yake mara tatu kwa siku.”+
28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+