25 Ndipo Arioko akampeleka Danieli haraka-haraka mbele ya mfalme, akamwambia hivi: “Nimepata mwanamume mmoja kutoka kwa wahamishwa+ wa Yuda anayeweza kumjulisha mfalme ile tafsiri.”
13 Basi Danieli akaletwa mbele ya mfalme. Mfalme akasema na kumuuliza Danieli: “Je, wewe ndiye Danieli ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ ambao baba yangu mfalme aliwatoa Yuda?+