25 Ndipo Arioko akampeleka Danieli haraka-haraka mbele ya mfalme, akamwambia hivi: “Nimepata mwanamume mmoja kutoka kwa wahamishwa+ wa Yuda anayeweza kumjulisha mfalme ile tafsiri.”
13 Papo hapo wakajibu, nao wakasema mbele ya mfalme: “Danieli,+ ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ hakukujali wewe, Ee mfalme, wala hakujali ile amri ya marufuku uliyotia sahihi, bali yeye anatoa maombi yake mara tatu kwa siku.”+