6 Hawa ndio wana wa wilaya ya utawala+ waliokuja kutoka utekwani+ mwa wale waliohamishwa ambao Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni,+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake mwenyewe;+
13 Papo hapo wakajibu, nao wakasema mbele ya mfalme: “Danieli,+ ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ hakukujali wewe, Ee mfalme, wala hakujali ile amri ya marufuku uliyotia sahihi, bali yeye anatoa maombi yake mara tatu kwa siku.”+