2 Na hawa ndio wana wa wilaya ya utawala+ waliotoka utekwani mwa wale waliohamishwa,+ ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni+ katika Babiloni na ambao baadaye walirudi+ Yerusalemu na Yuda,+ kila mmoja kwenye jiji lake mwenyewe;