16 Kwa habari ya wale wanaume mashujaa wote, elfu saba, na mafundi na wajenzi wa maboma, elfu moja, wanaume wote wenye nguvu wenye kupigana vita, mfalme wa Babiloni aliwapeleka uhamishoni mpaka Babiloni.+
20 Tena akawachukua mateka mpaka Babiloni wale waliobaki kutokana na upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka mamlaka ya kifalme ya Uajemi+ ilipoanza kutawala;